Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kutoka 7:9-10

Kutoka 7:9-10 BHN

“Farao atakapowaambieni mthibitishe jambo hilo kwa kutenda miujiza, wewe utamwambia Aroni aichukue fimbo yake, aitupe mbele ya Farao, nayo itakuwa nyoka.” Basi, Mose na Aroni wakamwendea Farao na kufanya kama walivyoamriwa na Mwenyezi-Mungu. Aroni aliitupa fimbo yake chini mbele ya Farao na maofisa wake, nayo ikawa nyoka.

Soma Kutoka 7

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Kutoka 7:9-10