Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kutoka 8:18-19

Kutoka 8:18-19 BHN

Wachawi wa Misri, kwa uchawi wao, wakajaribu kuyageuza mavumbi yawe viroboto, lakini hawakufaulu. Viroboto hao wakaenea juu ya watu na wanyama. Wale wachawi wakamwambia Farao, “Hii ni kazi ya mkono wa Mungu.” Lakini moyo wa Farao ukaendelea kuwa mgumu; wala hakuwasikiliza Mose na Aroni. Ikawa kama Mwenyezi-Mungu alivyokuwa amesema.

Soma Kutoka 8

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Kutoka 8:18-19