Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezekieli 8:3

Ezekieli 8:3 BHN

Basi, akanyosha kitu kama mkono, akanishika kwa nywele zangu. Roho ya Mungu ikaninyanyua kati ya ardhi na mbingu, ikanipeleka mpaka Yerusalemu nikiwa katika maono hayo ya Mungu. Nikafika kwenye kiingilio cha lango la ukumbi wa ndani linaloelekea upande wa kaskazini, mahali palipowekwa sanamu iliyomchukiza Mungu.

Soma Ezekieli 8

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ezekieli 8:3