Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 13:18-19

Luka 13:18-19 BHN

Yesu akauliza: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini? Ni kama mbegu ya haradali aliyotwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake; ikaota na kuwa mti. Ndege wa angani wakajenga viota vyao katika matawi yake.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 13:18-19