Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 13:25

Luka 13:25 BHN

Wakati utakuja ambapo mwenye nyumba atainuka na kufunga mlango. Nyinyi mtasimama nje na kuanza kubisha mlango mkisema: ‘Bwana, tufungulie mlango.’ Lakini yeye atawajibu: ‘Sijui mmetoka wapi.’

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 13:25