Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 8:24

Luka 8:24 BHN

Wale wanafunzi wakamwendea Yesu, wakamwamsha wakisema, “Bwana, Bwana! Tunaangamia!” Yesu akaamka, akaukemea upepo na mawimbi ya maji, navyo vikatulia, kukawa shwari.