Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 1:20

Mathayo 1:20 BHN

Alipokuwa bado anawaza jambo hilo, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akamwambia, “Yosefu, mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, maana amekuwa mjamzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.