Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 15:25-27

Mathayo 15:25-27 BHN

Hapo huyo mama akaja, akamsujudia, akasema, “Bwana, nisaidie.” Yesu akamjibu, “Si vizuri kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.” Huyo mama akajibu, “Ni kweli, Bwana; lakini hata mbwa hula makombo yanayoanguka kutoka meza ya bwana wao.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 15:25-27