Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 5:11-12

Mathayo 5:11-12 BHN

“Heri yenu nyinyi watu wakiwatukana, wakiwadhulumu na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili yangu. Furahini na kushangilia maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni. Hivyo ndivyo walivyowadhulumu manabii waliokuwako kabla yenu.