Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 13:14-15

Ufunuo 13:14-15 BHN

Aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. Aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena. Kisha alijaliwa kuipulizia uhai hiyo sanamu ya yule mnyama wa kwanza, hata ikaweza kuongea na kuwaua watu wote ambao hawakuiabudu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 13:14-15