Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 1:22-23

Waroma 1:22-23 BHN

Wanajidai kuwa wenye hekima, kumbe ni wapumbavu. Wanaacha kumwabudu Mungu aishiye milele, na badala yake, wanaabudu sanamu zilizo mfano wa binadamu ambaye hufa, mfano wa wanyama, ndege, au wanyama watambaao.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waroma 1:22-23