1 Mambo ya Nyakati 16:36
1 Mambo ya Nyakati 16:36 Biblia Habari Njema (BHN)
Asifiwe Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, tangu milele na hata milele! Kisha watu wote wakasema, “Amina!” Pia wakamsifu Mwenyezi-Mungu.
Shirikisha
Soma 1 Mambo ya Nyakati 161 Mambo ya Nyakati 16:36 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Na ahimidiwe BWANA, Mungu wa Israeli, tangu milele hata milele. Na watu wote wakasema, Amina; wakamhimidi BWANA.
Shirikisha
Soma 1 Mambo ya Nyakati 16