1 Mambo ya Nyakati 29:10
1 Mambo ya Nyakati 29:10 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Kwa hiyo Daudi akamhimidi BWANA, mbele ya mkutano wote; naye Daudi akasema, Uhimidiwe, Ee BWANA, Mungu wa Israeli baba yetu, milele na milele.
Shirikisha
Soma 1 Mambo ya Nyakati 291 Mambo ya Nyakati 29:10 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Daudi akamhimidi BWANA mbele ya kusanyiko lote, akisema: “Uhimidiwe wewe, Ee BWANA, Mungu wa Israeli baba yetu, tangu milele hata milele.
Shirikisha
Soma 1 Mambo ya Nyakati 29