1 Wakorintho 12:28
1 Wakorintho 12:28 Biblia Habari Njema (BHN)
Mungu ameweka katika kanisa: Kwanza mitume, pili manabii, tatu waalimu; kisha ameweka wale wenye kipaji cha kufanya miujiza, kuponya na kusaidia; viongozi na wenye kusema lugha ngeni.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 121 Wakorintho 12:28 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Mungu ameweka katika kanisa, kwanza mitume, pili manabii, tatu walimu, kisha watenda miujiza, pia karama za kuponya, karama za kusaidiana, karama za uongozi, aina mbalimbali za lugha.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 12