1 Wakorintho 6:12
1 Wakorintho 6:12 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
“Vitu vyote ni halali kwangu”: lakini si vitu vyote vyenye faida. “Vitu vyote ni halali kwangu”: lakini sitatawaliwa na kitu chochote.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 61 Wakorintho 6:12 Biblia Habari Njema (BHN)
Mtu anaweza kusema: “Kwangu mimi kila kitu ni halali.” Sawa; lakini si kila kitu kinafaa. Nakubali kwamba kila kitu ni halali kwangu lakini sitaki kutawaliwa na kitu chochote.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 6