1 Wakorintho 8:6
1 Wakorintho 8:6 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
kwetu sisi yuko Mungu mmoja, aliye Baba, ambaye vitu vyote vyatoka kwake na kwa ajili yake sisi twaishi; na kuna Bwana mmoja tu, Yesu Kristo, ambaye kwa yeye vitu vyote vimekuwepo na kwa yeye tunaishi.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 81 Wakorintho 8:6 Biblia Habari Njema (BHN)
hata hivyo, kwetu sisi yuko Mungu mmoja tu; Baba, Muumba wa vyote, ambaye kwa ajili yake sisi tuko. Pia yuko Bwana mmoja tu, Yesu Kristo, ambaye kwa njia yake vitu vyote viliumbwa, na sisi twaishi kwa njia yake.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 8