1 Wafalme 11:4
1 Wafalme 11:4 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Maana ikawa, Sulemani alipokuwa mzee, wake zake wakamgeuza moyo wake, afuate miungu mingine, wala moyo wake haukuwa mkamilifu kwa BWANA, Mungu wake, kama moyo wa Daudi baba yake.
Shirikisha
Soma 1 Wafalme 111 Wafalme 11:4 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana, alipokuwa mzee, wake zake walimpotosha hata akaitumikia miungu mingine, wala hakuwa mwaminifu kabisa kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wake, kama baba yake Daudi alivyokuwa mwaminifu.
Shirikisha
Soma 1 Wafalme 11