1 Wafalme 12:8
1 Wafalme 12:8 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Lakini akaliacha shauri lile la wazee, walilompa, akataka shauri kwa wale vijana waliokua pamoja naye, na kusimama mbele yake.
Shirikisha
Soma 1 Wafalme 121 Wafalme 12:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini Rehoboamu alipuuza shauri la wazee; badala yake akashauriana na vijana wa rika lake ambao walikuwa washauri wake.
Shirikisha
Soma 1 Wafalme 12