Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samueli 18:3 - Linganisha Matoleo Yote

1 Samueli 18:3 BHN (Biblia Habari Njema)

Kwa kuwa Yonathani alimpenda Daudi kama roho yake, alifanya agano naye.

1 Samueli 18:3 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Nao Yonathani na Daudi wakaahidiana, kwa kuwa alimpenda kama roho yake mwenyewe.

1 Samueli 18:3 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Nao Yonathani na Daudi wakaahidiana, kwa kuwa alimpenda kama roho yake mwenyewe.

1 Samueli 18:3 NEN (Neno)

Yonathani akafanya agano na Daudi kwa sababu alimpenda kama nafsi yake mwenyewe.