1 Samueli 8:7 - Compare All Versions
1 Samueli 8:7 BHN (Biblia Habari Njema)
Mwenyezi-Mungu akamwambia, “Sikiliza kila kitu ambacho watu wanakuambia; maana hawajakukataa wewe, bali wamenikataa mimi kuwa mfalme juu yao.
Shirikisha
1 Samueli 8 BHN1 Samueli 8:7 SRUV (Swahili Revised Union Version)
BWANA akamwambia Samweli, Isikilize sauti ya watu hawa katika kila neno watakalokuambia; kwa maana hawakukukataa wewe, bali wamenikataa mimi, ili nisiwe mfalme juu yao.
Shirikisha
1 Samueli 8 SRUV1 Samueli 8:7 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
BWANA akamwambia Samweli, Isikilize sauti ya watu hawa katika kila neno watakalokuambia; kwa maana hawakukukataa wewe, bali wamenikataa mimi, ili nisiwe mfalme juu yao.
Shirikisha
1 Samueli 8 SUV1 Samueli 8:7 NEN (Neno)
Naye BWANA akamwambia: “Sikiliza yale yote watu wanakuambia. Si wewe ambaye wamekukataa, bali wamenikataa mimi kuwa mfalme wao.
Shirikisha
1 Samueli 8 NEN