Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samueli 8:7 - Compare All Versions

1 Samueli 8:7 BHN (Biblia Habari Njema)

Mwenyezi-Mungu akamwambia, “Sikiliza kila kitu ambacho watu wanakuambia; maana hawajakukataa wewe, bali wamenikataa mimi kuwa mfalme juu yao.

Shirikisha
1 Samueli 8 BHN

1 Samueli 8:7 SRUV (Swahili Revised Union Version)

BWANA akamwambia Samweli, Isikilize sauti ya watu hawa katika kila neno watakalokuambia; kwa maana hawakukukataa wewe, bali wamenikataa mimi, ili nisiwe mfalme juu yao.

1 Samueli 8:7 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

BWANA akamwambia Samweli, Isikilize sauti ya watu hawa katika kila neno watakalokuambia; kwa maana hawakukukataa wewe, bali wamenikataa mimi, ili nisiwe mfalme juu yao.

Shirikisha
1 Samueli 8 SUV

1 Samueli 8:7 NEN (Neno)

Naye BWANA akamwambia: “Sikiliza yale yote watu wanakuambia. Si wewe ambaye wamekukataa, bali wamenikataa mimi kuwa mfalme wao.

Shirikisha
1 Samueli 8 NEN