1 Timotheo 2:1-2
1 Timotheo 2:1-2 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote; kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, tuishi maisha ya utulivu na amani, katika utauwa wote na ustahivu.
Shirikisha
Soma 1 Timotheo 21 Timotheo 2:1-2 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Awali ya yote, nasihi kwamba dua, sala, maombezi na shukrani zifanyike kwa ajili ya watu wote: kwa ajili ya wafalme na wale wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi kwa amani na utulivu, katika uchaji wote wa Mungu na utakatifu.
Shirikisha
Soma 1 Timotheo 2