1 Timotheo 6:18-19
1 Timotheo 6:18-19 Biblia Habari Njema (BHN)
Waamuru watende mema, wawe matajiri katika matendo mema, na wawe wakarimu na walio tayari kuwashirikisha wengine mali zao. Kwa namna hiyo watajiwekea hazina ambayo itakuwa kwao msingi imara kwa wakati ujao. Hapo wataweza kujipatia uhai ambao ni uhai wa kweli.
Shirikisha
Soma 1 Timotheo 61 Timotheo 6:18-19 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Watende mema, wawe matajiri kwa kutenda mema, wawe tayari kutoa mali zao, washirikiane na wengine kwa moyo; huku wakijiwekea akiba iwe msingi mzuri kwa wakati ujao, ili wapate uzima ulio kweli kweli.
Shirikisha
Soma 1 Timotheo 61 Timotheo 6:18-19 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Waagize watende mema, wawe matajiri katika matendo mema, pia wawe wakarimu na walio tayari kushiriki mali zao na wengine. Kwa njia hii watajiwekea hazina kama msingi kwa ajili ya wakati ujao na hivyo watajipatia uzima, yaani, ule uzima ambao ni wa kweli.
Shirikisha
Soma 1 Timotheo 6