2 Mambo ya Nyakati 16:9
2 Mambo ya Nyakati 16:9 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Kwa maana macho ya BWANA hukimbia-kimbia duniani mwote, ili ajionyeshe mwenye nguvu kwa ajili ya hao, waliokamilika moyo kuelekea kwake. Kwa hayo umetenda upumbavu; kwani tangu sasa utakuwa na vita.
2 Mambo ya Nyakati 16:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Mwenyezi-Mungu huuchunga kwa makini ulimwengu wote, ili kuwapa nguvu wale walio waaminifu kwake. Umetenda jambo la kipumbavu, kwa hiyo tangu sasa, utakuwa na vita kila mara.”
2 Mambo ya Nyakati 16:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa maana macho ya BWANA hukimbia kimbia duniani kote, ili ajionesha kuwa mwenye nguvu kwa ajili ya hao, waliokamilika moyo kuelekea kwake. Kwa hayo umetenda upumbavu; kwani tangu sasa utakuwa na vita.
2 Mambo ya Nyakati 16:9 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kwa kuwa macho ya BWANA hukimbiakimbia duniani kote ili kujionyesha mwenye nguvu kwa ajili ya wale ambao mioyo yao inamtegemea kwa ukamilifu. Umefanya jambo la upumbavu na kuanzia sasa na kuendelea utakuwa na vita.”