2 Mambo ya Nyakati 19:7
2 Mambo ya Nyakati 19:7 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Basi sasa hofu ya BWANA na iwe juu yenu; angalieni mkaifanye; kwa maana kwa BWANA, Mungu wetu, hapana uovu, wala kujali nafsi za watu, wala kupokea zawadi.
Shirikisha
Soma 2 Mambo ya Nyakati 192 Mambo ya Nyakati 19:7 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, sasa mwogopeni Mwenyezi-Mungu, muwe waangalifu katika kila jambo mtakalotenda kwa sababu Mwenyezi-Mungu wetu hatavumilia upotoshaji wa haki, wala upendeleo wala ulaji rushwa.”
Shirikisha
Soma 2 Mambo ya Nyakati 19