2 Mambo ya Nyakati 7:14
2 Mambo ya Nyakati 7:14 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.
Shirikisha
Soma 2 Mambo ya Nyakati 72 Mambo ya Nyakati 7:14 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
kama watu wangu, wanaoitwa kwa Jina langu, watajinyenyekesha na kuomba na kuutafuta uso wangu na kuacha njia zao mbaya, basi nitasikia toka mbinguni na kuwasamehe dhambi yao na nitaiponya nchi yao.
Shirikisha
Soma 2 Mambo ya Nyakati 72 Mambo ya Nyakati 7:14 Biblia Habari Njema (BHN)
kama watu hao wangu wakijinyenyekesha, wakasali, wakanitafuta na kuacha njia zao mbaya, basi, mimi nitawasikiliza kutoka juu mbinguni; nitawasamehe dhambi yao na kuistawisha nchi yao.
Shirikisha
Soma 2 Mambo ya Nyakati 7