2 Wakorintho 1:9
2 Wakorintho 1:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Naam, tulikuwa kama watu waliohukumiwa kuuawa, ili tufundishwe kumtegemea Mungu mwenye kuwafufua wafu, badala ya kutegemea nguvu zetu sisi wenyewe.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 12 Wakorintho 1:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Naam, sisi wenyewe tulikuwa na hukumu ya mauti katika nafsi zetu ili tusijitumainie nafsi zetu, bali tumtumaini Mungu, awafufuaye wafu
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 1