2 Wakorintho 13:11
2 Wakorintho 13:11 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Hatimaye, ndugu zangu, kwaherini. Kuweni wakamilifu, mkafarijike, kuweni wa nia moja, kaeni kwa amani. Naye Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 132 Wakorintho 13:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Kwa sasa, ndugu, kwaherini! Muwe na ukamilifu, shikeni mashauri yangu, muwe na nia moja; kaeni kwa amani. Naye Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 13