2 Wakorintho 4:18
2 Wakorintho 4:18 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
kwa sababu hatuangalii yale yanayoweza kuonekana bali yale yasiyoweza kuonekana. Kwa maana yale yanayoweza kuonekana ni ya kitambo tu, bali yale yasiyoweza kuonekana ni ya milele.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 42 Wakorintho 4:18 Biblia Habari Njema (BHN)
Hivyo tunatazamia kwa makini si vitu vinavyoonekana, bali visivyoonekana. Maana vinavyoonekana ni vya muda tu; lakini vile visivyoonekana ni vya milele.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 4