2 Wakorintho 4:6
2 Wakorintho 4:6 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kwa kuwa Mungu, yeye aliyesema, “Nuru na ingʼae gizani,” ameifanya nuru yake ingʼae mioyoni mwetu ili kutupatia nuru ya maarifa ya utukufu wa Mungu katika uso wa Kristo.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 42 Wakorintho 4:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Mungu ambaye alisema, “Mwanga na uangaze kutoka gizani,” ndiye mwenye kuiangaza mioyo yetu, na kutupatia mwanga wa ujuzi wa utukufu wa Mungu uangazao katika uso wa Kristo.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 4