2 Yohane 1:9
2 Yohane 1:9 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Mtu yeyote asiyedumu katika mafundisho ya Kristo, bali akayaacha, yeye hana Mungu. Yeyote anayedumu katika mafundisho ana Baba na Mwana pia.
Shirikisha
Soma 2 Yohane 12 Yohane 1:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Asiyezingatia na kudumu katika mafundisho ya Kristo, bali anayakiuka, hana Mungu. Lakini anayedumu katika mafundisho hayo anaye Baba na Mwana.
Shirikisha
Soma 2 Yohane 1