2 Wafalme 5:13
2 Wafalme 5:13 Biblia Habari Njema (BHN)
Watumishi wake wakamwendea na kumwambia, “Baba yetu kama nabii angekuambia ufanye jambo fulani gumu, je, hungelifanya? Sasa, aliyokuambia tu ni: ‘Jioshe, ili upone!’”
Shirikisha
Soma 2 Wafalme 52 Wafalme 5:13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Watumishi wake wakamkaribia, wakamwambia, wakasema, Baba yangu, kama yule nabii angalikuambia kutenda jambo kubwa, usingalilitenda? Je! Si zaidi basi, akikuambia, Jioshe, uwe safi?
Shirikisha
Soma 2 Wafalme 5