2 Wafalme 5:3
2 Wafalme 5:3 Biblia Habari Njema (BHN)
Siku moja akamwambia bibi yake, mke wa Naamani, “Laiti bwana wangu angekwenda na kumwona yule nabii aliyeko Samaria! Angemponya ugonjwa wake.”
Shirikisha
Soma 2 Wafalme 52 Wafalme 5:3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Akamwambia bibi yake, Laiti bwana wangu angekuwa pamoja na yule nabii aliyeko Samaria! Maana angemponya ukoma wake.
Shirikisha
Soma 2 Wafalme 5