2 Wathesalonike 3:16 - Linganisha Matoleo Yote
2 Wathesalonike 3:16 BHN (Biblia Habari Njema)
Bwana mwenyewe ambaye ndiye chanzo cha amani, awajalieni amani siku zote kwa kila namna. Bwana awe nanyi nyote.
Shirikisha
2 Wathesalonike 3 BHN2 Wathesalonike 3:16 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sasa, Bwana wa amani mwenyewe na awape amani daima kwa njia zote. Bwana awe pamoja nanyi nyote.
Shirikisha
2 Wathesalonike 3 SUV2 Wathesalonike 3:16 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Sasa, Bwana wa amani mwenyewe na awape amani daima kwa njia zote. Bwana awe pamoja nanyi nyote.
Shirikisha
2 Wathesalonike 3 SRUV2 Wathesalonike 3:16 NEN (Neno)
Basi, Bwana wa amani mwenyewe awapeni amani nyakati zote na kwa kila njia. Bwana awe nanyi nyote.
Shirikisha
2 Wathesalonike 3 NEN