2 Wathesalonike 3:3
2 Wathesalonike 3:3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini Bwana ni mwaminifu, atakayewafanya imara na kuwalinda kutoka kwa yule mwovu.
Shirikisha
Soma 2 Wathesalonike 32 Wathesalonike 3:3 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini Bwana ni mwaminifu. Yeye atawaimarisheni na kuwalinda salama na yule Mwovu.
Shirikisha
Soma 2 Wathesalonike 32 Wathesalonike 3:3 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Lakini Bwana ni mwaminifu, atakayewafanya imara na kuwalinda na yule mwovu.
Shirikisha
Soma 2 Wathesalonike 3