2 Wathesalonike 3:8 - Linganisha Matoleo Yote
2 Wathesalonike 3:8 BHN (Biblia Habari Njema)
hatukula chakula kwa mtu yeyote bila ya kumlipa. Tulifanya kazi kwa bidii na taabu mchana na usiku ili tusiwe mzigo kwa mtu yeyote kati yenu.
Shirikisha
2 Wathesalonike 3 BHN2 Wathesalonike 3:8 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wala hatukula chakula kwa mtu ye yote bure; bali kwa taabu na masumbufu, usiku na mchana tulitenda kazi, ili tusimlemee mtu wa kwenu awaye yote.
Shirikisha
2 Wathesalonike 3 SUV2 Wathesalonike 3:8 SRUV (Swahili Revised Union Version)
wala hatukula chakula kwa mtu yeyote bure; bali kwa taabu na masumbufu, usiku na mchana tulifanya kazi, ili tusimlemee mtu wa kwenu awaye yote.
Shirikisha
2 Wathesalonike 3 SRUV2 Wathesalonike 3:8 NEN (Neno)
wala hatukula chakula cha mtu yeyote pasipo kukilipia. Badala yake tulifanya kazi kwa bidii usiku na mchana, ili tusimlemee mtu yeyote miongoni mwenu.
Shirikisha
2 Wathesalonike 3 NEN