2 Timotheo 2:13
2 Timotheo 2:13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kama sisi hatuamini, yeye hudumu wa kuaminiwa. Kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 22 Timotheo 2:13 Biblia Habari Njema (BHN)
Tukikosa kuwa waaminifu, yeye hubaki mwaminifu daima, maana yeye hawezi kujikana mwenyewe.”
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 2