2 Timotheo 2:15
2 Timotheo 2:15 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Jitahidi kujionesha kuwa umekubaliwa na Mungu, mfanyakazi asiye na sababu ya kutahayari, ukitumia kwa halali neno la kweli.
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 22 Timotheo 2:15 Biblia Habari Njema (BHN)
Jitahidi kupata kibali kamili mbele ya Mungu kama mfanyakazi ambaye haoni haya juu ya kazi yake na ambaye hufundisha sawa ule ujumbe wa kweli.
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 2