2 Timotheo 2:16
2 Timotheo 2:16 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Jiepushe na maneno machafu yasiyo na maana, ambayo si ya dini; kwa kuwa wataendelea zaidi katika maovu
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 22 Timotheo 2:16 Biblia Habari Njema (BHN)
Jiepushe na majadiliano yasiyofaa na ya kipumbavu; kwani hayo huzidi kuwatenga watu mbali na Mungu.
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 2