2 Timotheo 2:22
2 Timotheo 2:22 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini zikimbie tamaa za ujanani; ukafuate haki, na imani, na upendo, na amani, pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 22 Timotheo 2:22 Biblia Habari Njema (BHN)
Jiepushe na tamaa za ujana, fuata uadilifu, imani, upendo, amani, pamoja na watu wote ambao wanamwomba Bwana kwa moyo safi.
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 2