2 Timotheo 2:25
2 Timotheo 2:25 Swahili Revised Union Version (SRUV)
akiwaonya kwa upole wao washindanao naye, ili kama ikiwezekana, Mungu awajalie ili watubu na kuijua kweli
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 22 Timotheo 2:25 Biblia Habari Njema (BHN)
ambaye ni mpole anapowaonya wapinzani wake, kwani huenda Mungu akawajalia nafasi ya kutubu, wakapata kuujua ukweli.
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 2