2 Timotheo 3:16-17
2 Timotheo 3:16-17 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema.
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 32 Timotheo 3:16-17 Biblia Habari Njema (BHN)
Maandiko yote Matakatifu yameandikwa kwa uongozi wa Mungu, na yanafaa katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, na kuwaongoza watu waishi maisha adili, ili mtu wa Mungu awe mkamilifu, na tayari kabisa kufanya kila kazi njema.
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 32 Timotheo 3:16-17 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema.
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 3