Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

2 Timotheo 4:18 - Linganisha Matoleo Yote

2 Timotheo 4:18 BHN (Biblia Habari Njema)

Bwana ataniokoa na mambo yote maovu, na kunichukua salama mpaka katika ufalme wake wa mbinguni. Kwake uwe utukufu milele na milele! Amina.

2 Timotheo 4:18 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Bwana ataniokoa na kila neno baya, na kunihifadhi hata nifike ufalme wake wa mbinguni. Utukufu una Yeye milele na milele. Amina.

2 Timotheo 4:18 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Bwana ataniokoa na kila neno baya, na kunihifadhi hata nifike katika ufalme wake wa mbinguni. Utukufu una Yeye milele na milele. Amina.

2 Timotheo 4:18 NEN (Neno)

Bwana ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe milele na milele. Amen.