2 Timotheo 4:8
2 Timotheo 4:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
baada ya hayo nimewekewa taji la haki, ambayo Bwana, mhukumu mwenye haki, atanipa siku ile; wala si mimi tu, bali na watu wote pia waliopenda kufunuliwa kwake.
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 42 Timotheo 4:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Na sasa imebakia tu kupewa tuzo la ushindi kwa maisha ya uadilifu, tuzo ambalo Bwana, Hakimu wa haki, atanipa mimi siku ile, na wala si mimi tu, ila na wale wote wanaotazamia kwa upendo kutokea kwake.
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 4