Matendo 1:3
Matendo 1:3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
wale aliojidhihirisha kwao kuwa yu hai, kwa dalili nyingi, baada ya kuteswa kwake, akiwatokea muda wa siku arubaini, na kuyanena mambo yaliyouhusu ufalme wa Mungu.
Shirikisha
Soma Matendo 1Matendo 1:3 Biblia Habari Njema (BHN)
Kwa muda wa siku arubaini baada ya kifo chake aliwatokea mara nyingi kwa namna ambazo zilithibitisha kabisa kwamba alikuwa hai. Walimwona, naye aliongea nao juu ya ufalme wa Mungu.
Shirikisha
Soma Matendo 1