Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 10:4 - Linganisha Matoleo Yote

Matendo 10:4 BHN (Biblia Habari Njema)

Kornelio alimkodolea macho huyo malaika kwa hofu, akamwambia, “Kuna nini Mheshimiwa?” Huyo malaika akamwambia, “Mungu amezipokea sala na sadaka zako kwa maskini wala hatazisahau.

Shirikisha
Matendo 10 BHN

Matendo 10:4 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Akamtazama sana, akaogopa akasema, Kuna nini, Bwana? Akamwambia, Sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.

Shirikisha
Matendo 10 SUV

Matendo 10:4 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Akamkodolea macho, akaogopa akasema, Kuna nini, Bwana? Akamwambia, Sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.

Shirikisha
Matendo 10 SRUV

Matendo 10:4 NEN (Neno)

Kornelio akamkazia macho kwa hofu akasema, “Kuna nini, Bwana?” Malaika akamwambia, “Sala zako na sadaka zako kwa maskini zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.

Shirikisha
Matendo 10 NEN