Matendo 25:8
Matendo 25:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Kwa kujitetea, Paulo alisema, “Mimi sikufanya kosa lolote kuhusu sheria ya Wayahudi, wala kuhusu hekalu, wala kumhusu Kaisari.”
Shirikisha
Soma Matendo 25Matendo 25:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Paulo akasema akijitetea, Mimi sikukosa neno juu ya sheria ya Wayahudi, wala juu ya hekalu, wala juu ya Kaisari.
Shirikisha
Soma Matendo 25