Matendo 4:13
Matendo 4:13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kuwajua ya kuwa ni watu wasio na elimu, wasio na maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu.
Shirikisha
Soma Matendo 4Matendo 4:13 Biblia Habari Njema (BHN)
Hao wazee wa Baraza, wakiwa wanajua kwamba Petro na Yohane walikuwa watu wasio na kisomo wala elimu yoyote, walishangaa juu ya jinsi walivyosema kwa uhodari. Wakatambua kwamba walikuwa wamejiunga na Yesu.
Shirikisha
Soma Matendo 4