Amosi 4:12
Amosi 4:12 Biblia Habari Njema (BHN)
“Kwa hiyo, enyi Waisraeli, nitawaadhibu. Na kwa kuwa nitafanya jambo hilo, kaeni tayari kuikabili hukumu yangu!”
Shirikisha
Soma Amosi 4Amosi 4:12 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Basi nitakutenda hivi, Ee Israeli, na kwa sababu nitakutenda hivi, ujiweke tayari kuonana na Mungu wako, Ee Israeli.
Shirikisha
Soma Amosi 4