Wakolosai 3:1
Wakolosai 3:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, ikiwa mmefufuka pamoja na Kristo, panieni mambo ya juu, kule Kristo aliko, ameketi upande wa kulia wa Mungu.
Shirikisha
Soma Wakolosai 3Wakolosai 3:1 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Basi mkiwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu Kristo aliko, ameketi mkono wa kuume wa Mungu.
Shirikisha
Soma Wakolosai 3