Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Danieli 10:19 - Linganisha Matoleo Yote

Danieli 10:19 BHN (Biblia Habari Njema)

Akaniambia, ‘Usiogope wewe unayependwa sana, uko salama. Uwe imara na hodari.’ Aliposema nami, nilipata nguvu, nikamwambia, ‘Bwana, umekwisha niimarisha; sema kile ulichotaka kusema.’

Shirikisha
Danieli 10 BHN

Danieli 10:19 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Akasema, Ee mtu upendwaye sana, usiogope; amani na iwe kwako, uwe na nguvu, naam, uwe na nguvu. Aliposema nami nikapata nguvu, nikasema, Ee Bwana wangu, na aseme Bwana wangu; kwa maana umenitia nguvu.

Shirikisha
Danieli 10 SUV

Danieli 10:19 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Akasema, Ee mtu upendwaye sana, usiogope; amani na iwe kwako, uwe na nguvu, naam, uwe na nguvu. Aliposema nami nikapata nguvu, nikasema, Ee Bwana wangu, na aseme Bwana wangu; kwa maana umenitia nguvu.

Shirikisha
Danieli 10 SRUV

Danieli 10:19 NEN (Neno)

Akasema, “Ee mtu upendwaye sana, usiogope. Amani iwe kwako! Uwe na nguvu sasa; jipe nguvu.” Alipozungumza nami, nilipata nguvu, nikasema, “Nena, bwana wangu, kwa kuwa umenipa nguvu.”

Shirikisha
Danieli 10 NEN